Sunday 14 June 2015

RONALDO AIPIGIA URENO HAT-TRICK, UJERUMANI YACHINJA 7-0 KUFUZU EURO 2016


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo jana ameifungia timu yake ya taifa ya Ureno magoli matatu 'hat-trick' katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Armenia kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (Euro 2016).
Ronaldo alifunga magoli yake dakika ya 29, 55, 58, wakati magoli ya Armenia yalifungwa na Marcos Pizzelli 14, Hrayr Mkoyan 71 .

Ujerumani imefanya maangamizi kwa kuitanda 7-0 Gibraltar katika mechi ya kundi D ya kuwania kufuzu Euro 2016.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA