TASWIRA YA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA
00:04 |
No Comments |
Coaster la Kampuni ya Another G baada ya ajali.
Taswira kutoka eneo la ajali hiyo.
WATU zaidi ya 23 wamepoteza maisha katika ajali ya gari aina ya Coaster mali ya Kampuni ya Another G inayofanya safari zake kati ya Njombe - Iringa baada ya kugongana na lori jana usiku.
Ajali hiyo imetokea eneo la Kinyanambo nje kidogo na mji wa Mafinga, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wakati Coaster hiyo ikitokea mkoani Iringa kwenda Njombe.
-GPL
KWA HALI HII AJALI ZITAKWISHA KWELI? |
Related Posts:
12 WAPOTEZA MAISHA AJALI YA BOTI BAHARI YA HINDI ,25 WANUSURIKA Picha toka Maktaba Ajali ya Jahazi ambayo ilitokea usiku wa kuamkia leo iliyosababisha vifo vya abiria 12 na wengine 25 kujeruhi kwenye tukio hi… Read More
TRENI YAGONGA STESHENI NA KUUA MTU MMOJA NA KUJERUHI WENGI MAREKANI Mtu mmoja ameripotiwa kufa na makumi kujeruhiwa, baadhi yao vibaya mno baada ya treni kugonga stesheni katika jimbo la New Jersey nchini Marekani.… Read More
WATU 16 WAFARIKI BAADA YA PUTO LA KUPAA ANGANI KUWAKA MOTO Watu wapatao 16 wamekufa baada ya puto la kuruka kwa kutumia joto kupata moto likiwa angani na kuanguka kisha kuuwa watu wote waliokuwamo nc… Read More
MATUKIO KATIKA PICHA KUHUSU AJALI YA NDEGE ILIYOUWA WACHEZAJI WA BRAZIL Mabaki ya ndege namba CP 2933 iliyoanguka katika jimbo la Medellin nchini Colombia huku ikisemekana kuwa watu 75 wamepoteza maisha wakiwemo wachezaj… Read More
NDEGE ILIYOBEBA WACHEZAJI WA TIMU YA SOKA CHAPECOENSE YA BRAZIL YAANGUKA LEO ASUBUHI NCHINI COLOMBIA Ndege iliyobeba watu 81 wakiwemo wachezaji wa klabu ya soka ya Chapecoense kutoka Brazil imeanguka wakati ikikaribia kutua katika mji wa Medellin … Read More
0 comments:
Post a Comment