Monday 7 December 2015

LIVERPOOL YASHIKWA SHATI NA NEWCASTLE UNITED







Hii ndiyo raha ya soka, unayemuona mnyonge, ndiye anayeangusha kigogo.


Hii imetokea  wakati Newcastle ilipoitwanga Liverpool kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu england iliyopigwa kwenye Dimba la Saint James Park.

Liverpool imekuwa na mwendo mzuri huku Newcastle ikiwakatisha tamaa mashabiki wake kwa vipigo mfululizo lakini  imeamka kwa bao la kujfunga la Martin Skrtel kabla ya Wijnaldum kumaliza kazi katika dakika ya 90.





Mfungaji wa mabao yote mawili akishangilia kwa kuonesha alama ya idadi ya magoli aliyofunga.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA