Wednesday 9 December 2015

RONALDO ATUPIA 4,BENZEMA 3 REAL MADRID IKISHINDA 8 UEFA

.

Licha ya kuwa imeishafuzu katika ligi ya mabingwa ulaya hatua ya 16 bora, lakini Madrid haikusita kutoa adhabu kali kwa kuichapa malmo ya sweden kwa mabao 8-0 huku Cristiano akifunga mabao manne, karim Benzema akatupia tatu na kuiwezesha timu hiyo ya hispania kufunga mabao mengi zaidi.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA