BREAKING NEWS.. RAIS MAGUFULI ATOA TAMKO ZITO KWA MAWAZIRI AMBAO HAWAJAWASILISHA HATI ZA MALI.
Rais
Magufuli amewataka mawaziri 4 na naibu waziri mmoja kujaza na
kuwasilisha fomu ya tamko la mali zao Sekritarieti ya Maadili kabla ya
saa 12 jioni ya leo vinginevyo watakuwa wamejifuta kazi.
Akiongea na waandishi wa habari leo, Waziri Mkuu Majaliwa amewataja mawaziri hao kuwa ni Charles Kitwanga, January Makamba, Augustine Mahiga na Joyce Ndalichako. Naibu Waziri ni Luhaga Mpina.
Akiongea na waandishi wa habari leo, Waziri Mkuu Majaliwa amewataja mawaziri hao kuwa ni Charles Kitwanga, January Makamba, Augustine Mahiga na Joyce Ndalichako. Naibu Waziri ni Luhaga Mpina.
0 comments:
Post a Comment