DOGO WA MAN UNITED AIPARURA ARSENAL
Mshambuliaji
kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu
kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika aa 29 na 32
katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya
England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford.
Bao lingine la Mashetani Wekundu limefungwa na Ander Herrera dakika ya 65, wakati ya Washika Bundukin wa London yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 40 na Mesut Ozil dakikaya 69 . |
0 comments:
Post a Comment