Wednesday 24 February 2016

JUVENTUS YASHIKWA SHATI NA BEYERN MUNICHEN

Bayern Munich imelazimisha sare ya 2-2 na wenyeji Juventus Uwanja wa Juve.
Kiungo wa Juventus, Paul Pogba (kushoto) akimtoka Nahodha wa Bayern Munich, Philipp Lahm Thomas Muller roars with celebration after putting Bayern Munich into the lead on the stroke of half-time at the Juventus Stadium Bayern ilitangulia kwa mabao ya Thomas Muller dakika ya 43 na Arjen Robben dakika ya 55, kabla ya Paulo Dybala kuifungia Juve dakika ya 63 na Stefano Sturaro kusawazisha dakika ya 76. Bayern sasa wanaweza kusonga mbele hata kwa sare ya 0-0 au 1-1 katika mchezo wa marudiano Ujerumani, kwani watanufaika na sharia ya mabao ya ugenini.
Argentine talent Dybala grabs the ball as he celebrates his second-half goal as he runs back to the centre circle to get play started again
Dybala akishangilia mara baada ya kuipatia Juventus bao

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA