Monday, 13 June 2016

COPA AMERICA 2016::BRAZIL YATUPWA NJE NA KIKOSI KAZI CHA PERU

Raul Ruidiaz handled the ball into the back of the net to ensure Peru's progression to the knockout stages
Raul Ruidiaz akiifungia Peru bao pekee katika uahindi wa 1-0 dhidi ya Brazil kwenye mchezo wa Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Gillette mjini Foxborough, Massachusetts, Marekani.
Brazilian players surround the referee Andres Cunha as they suggest Peru's winning goal was a hand ball
Kipa wa Brazil akilalamika kwa muamuzi wa mchezo Andres Cunha kupinga goli lililofungwa kwa madai kuwa mfungaji aliunawa mpira 

 Peru inakwenda hatua ya mtoano, wakati Brazil inaaga mapema michuano hiyo 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA