Monday, 13 June 2016

EURO 2016::UJERUMANI YAANZA KWA KUGAWA DOZI YA 2:0 KWA UKRAINE



Valencia's 24-year-old centre half Mustafi gave Joachim Low's side a 19th-minute lead with a bullet header from a free-kick

Germany's Shkodran Mustafi (right) celebrates with Sami Khedira (No 6) and Jerome Boateng (No 17) after scoring against the Ukraine

Nyota wa Ujerumani, Shkodran Mustafi (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake, Sami Khedira (Namba 6) na Jerome Boateng (Namba 17) baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq kwenye mchezo wa Kundi C Euro 2016. 

Manchester United midfielder Bastian Schweinsteiger sealed Germany's victory with a smart finish after a cross from Mesut Ozil
Bao la pili la Ujerumani limefungwa na Bastian Schweinsteiger dakika ya 90.

Matukio katika picha..
Germany forward Gotze (left) goes to ground in an attempt to tackle Ukraine's veteran left back, Vyacheslav Shevchuk (right)
Mshambuliaji wa Ujerumani Mario Gotze (kushoto) akichuana na beki wa Ukraine Vyacheslav Shevchuk

German goalkeeper Manuel Neuer (in the black jersey) correctly appeals for offside against a Ukraine goal in the first period 
Kipa Manuel Neuer akilalama kwa muamuzi ili kupinga goli lililofungwa na mchezaji wa Ukraine akiwa ameotea

PICHA NA AP

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA