Thursday 16 June 2016

EURO 2016::GRIEZMANN, PAYET WAIPATIA UFARANSA USHINDI WA JIONI

Saint-Pierre-born Payet kicked the corner flag with both feet in celebration after yet another goalscoring display for his country
Mshambuliaji wa Ufaransa, Dimitri Payet akitimba kibendera cha kona kwa furaha baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika
Ufaransa imefanya kitu ambacho hakijawahi kufanyika hapo kabla kwenye michuano ya Ulaya baada ya kuichapa Ablania 2-0 huku magoli yote yakija baada ya dakika ya 90.
Atletico Madrid maestro Griezmann scores the opening goal during the European Championship tie to send French fans wild
Griezmann anayekipiga na Atletico Madrid  akifunga kwa kichwa goli lake hilo la dakika ya 90

France substitute Antoine Griezmann celebrates after scoring in the 90th minute against Albania on Wednesday evening

Mshambuliaji wa Ufaransa aliyetokea benchi Antoine Griezmann akishangilia bao lake dakika ya 90 dhidi ya Albania Jumatano jioni  
 Ilikuwa ni kama vile mechi hiyo ya Euro 2016 inamalizika kwa sare, lakini mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann  aliyeingia dakika ya 68 kuchukua nafasi ya  Kingsley Coman akaifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 90. Wakati Ufaransa wakiwa bado hata hawajamaliza furaha ya bao hilo, mambo yakazidi kunoga pale Dimitri Payet alipofunga goli la pili katika dakika za majeruhi.

Hii ni mara ya pili mfululizo kwa wenyeji Ufaransa kupata bao la ushindi ukingoni mwa mchezo, kwani katika mchezo wa kwanza dhidi ya Romania, Dimitri Payet alifunga bao la ushindi dakika ya 90 na kufanya mpira umalizike 2-1. Katika mchezo huu, kocha Didier Deschamps aliwaanzishia benchi Antoine Griezmann na Paul Pogba nafasi zao zikipelekwa kwa Anthony Martial na Kingsley Coman kabla hawajaingizwa kipindi cha pili. 
  
West Ham United star Dimitri Payet rounded things off in style with a whipped finish into the corner of the Albanian net

 Staa wa West Ham United Dimitri Payet akifunga goli la pili kwa ufundi wa hali ya juu 

Giroud leaps highest to head against the post in one of several agonising moments for the French supporters on Wednesday night
Hana Bahati!!!Giroud anapiga mpira wa kichwa unaokwenda kugonga mwamba



0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA