WAFANYAKAZI TBL KIWANDA CHA MOSHI WASHIRIKI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUFANYA USAFI KATIKA UWANJA WA MASHUJAA
Meneja wa kiwanda cha TBL Moshi Malting Plant ,Vitus Muhusi (kushoto) pamoja na Malting Engineer ,Venance Mwakosya ,wakifyeka nyasi ikiwa ni sehemu ya kushiriki kuadhimisha siku ya mazingira duniani |
Gloria Mtenga - Malting Administrative Co-ordinator akishiriki usafi |
Wafanyakazi wa TBL wakiendelea kufyeka Nyasi katika uwanja wa mashujaa |
0 comments:
Post a Comment