Tuesday, 14 June 2016

WENGI WAKUSANYIKA KUOMBOLEZA JUU WALIOUWAWA ORLANDO

Wengi walishindwa kujizuia na kutokwa na machozi



Maelfu ya watu wamekusanyika huko Orlando Marekani usiku wa jumatatu, kuwakumbuka na kuwaombea watu 49 waliouwawa kwa mashambulizi ya kikatili ya risasi kwenye Klabu ya Usiku ya Mashoga siku ya jumapili.

Picha za watu 49 waliouawa kwa kupigwa risasi katika klabu ya usiku ya watu wenye mapenzi ya jinsia moja mjini Orlando, Marekani siku ya jumapili. 
  Watu wakiwa wamekumbatiana kwa majonzi wakati wa kuwaomboleza  waliouwawa Orlando
           Vilio vikiwa vimetawala wakati wa kuwaomboleza watu 49 waliouwawa Orlando

Watu wakiwa na mishumaa wakiomboleza wenzao waliouwawa kwenye Klabu ya Pulse huko Orlando

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA