USAJILI LIGI KUU BARA::THEMI FELIX MBIONI KUREJEA KAGERA SUGAR


Themi aliwahi kuwa mshambuliaji tishio miaka mitatu iliyopita akiwa na Kagera kabla ya kuhamia City ambapo kiwango kilishuka na sasa anategemea kurudi nyumbani kuendelea kufanya mambo makubwa.
Wachezaji wengine ambao wameshamwaga wino kuwatumikia wakata miwa hao ni David Burhan, Matogolo Anthony na Hassani Khateeb.
0 comments:
Post a Comment