Thursday 25 August 2016

MTOTO WA MIAKA 7 AKUTWA HAI KWENYE KIFUSI BAADA YA SAA 17 KUPITA

Katika hali isiyo ya kawaida waokoaji wamefanikiwa kumuokoa mtoto wa kike wa miaka 7 aliyenasa kwenye kifusi cha nyumba akiwa kichwa chini baada ya kupita saa 17 tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi nchini Italia.

Waokoaji walijikuta wakishangilia kwa furaha huku wakipaza sauti zao wakisema “yupo hai' wakati wakimchomoa kwenye kifusi bindi huyo, kufuatia tetemeko la ardhi lililokwisha uwa watu 247 na kujeruhi wengine wengi.
           Waokoaji wakiendelea na kazi ya kutafuta watu waliofukiwa kwenye vifusi
                        Waokoaji wakimchomoa mtu aliyekuwa amekwama kwenye vifusi
                                     Waokoaji wakimvuta mtu mwingine kutoka kwenye vifusi

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA