Friday 16 September 2016

EUROPA::CHARLIE AUSTIN AIBEBA SOUTHAMPTON IKISHINDA 3:0


Charlie Austin amefunga magoli mawili wakati Southampton ikipata ushindi wakiwa na kocha Claude Puel kwa kuifunga Sparta Prague magoli 3-0 katika mchezo wa Ligi ya Uropa.


Austin alifunga goli la kwanza kufuatia kutolewa penati ya utata, baada ya Costa Nhamoinesu kudaiwa kuwa ameushika mpira wakati wa kumkaba mshambuliaji huyo.

Austin tena aliongeza goli la pili kwa kichwa na kisha baadaye Jay Rodriguez akaongeza la tatu.
 Kapteni Van Dijk akiwaamua Dusan Tadic na Charlie Austin waliokuwa wakigombea kupiga penati
        Hatimaye Charlie Austin alipewa fursa ya kupiga penati na kupachika mpira wavuni

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA