Saturday 26 November 2016

NEWS::FIDEL CASTRO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa rais wa Cuba, Fidel Castro amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90. 

Castro aliyekuwa na msimamo mkali, aliiongoza Cuba kwa miaka mingi kabla ya kukabidhi madaraka kwa kaka yake Raul mwaka 2008. 

Fidel Castro alizaliwa mwaka 1926 kusini magharibi kwa jimbo la Oriente. 

Katika maisha yake ya harakati alijikuta akikamatwa na kufungwa mwaka 1953 kabla ya kuachiwa mwaka 1955. 

Alichaguliwa kuwa rais wa Cuba mwaka 1976 hadi mwaka 2008 alipokabidhi uongozi kwa kaka yake baada ya kusumbuliwa na maradhi mara kwa mara.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA