Saturday 10 December 2016

MAJALIWA ATOA TUZO YA MWAJIRI BORA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kukabidhi tuzo kwa washindi wa tuzo ya mwajiri bora kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akizungumza kabla ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kukabidhi tuzo kwa washindi wa tuzo ya mwajiri bora kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi tuzo ya mshindi wa Jumla ya Mwajiri Bora, Bw. David Magese wa Kampuni ya Bia Tanzania baada ya kampuni yake kunyakua tuzo hiyo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kiataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi tuzo ya mshindi wa Jumla ya Mwajiri Bora, Bw. David Magese wa Kampuni ya Bia Tanzania baada ya kampuni yake kunyakua tuzo hiyo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kiataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa tuzo ya mwajiri bora kwenye Ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama na wapili kulia kwake ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Abdallah Posi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA