Monday 9 January 2017

CHELSEA YATINGA RAUNDI YA NNE YA KOMBE LA FA

Kapteni wa Chelsea, John Terry ametolewa nje kwa kadi nyekundu wakati timu hiyo ikiibuka na ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya timu ya ligi ya daraja la kwanza ya Peterborough katika mchezo wa kombe la FA.

Katika mchezo huo Chelsea ilifanya mabadiliko ya wachezaji tisa, na nusura wajikute wakiwa nyuma baada ya Asmir Begovic kuokoa mpira wa kichwa cha karibu uliopigwa na Lee Angol.

Hata hivyo kikosi hicho cha Antonio Conte, kilipata goli la kwanza kupitia kwa Pedro, kisha Michy Batshuayi kufunga la pili na Willian kufunga la tatu baada ya mapumziko kabla ya Pedro.
Pedro akiwa ameachia shuti lililojaa wavuni na kuandika goli la kwanza katika mchezo huo
Tom Nicholas akiangali mpira alioupiga ukielekea kutinga kwenye goli la Chelsea

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA