Tuesday 10 January 2017

CRISTIANO RONALDO ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA FIFA


Mshambuliaji nyota Cristiano Ronaldo ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwaka, na kupewa tuzo na Shirikisho la Soka Duniani- FIFA Jijini Zurich.

Nyota huyo wa Real Madrid na Ureno Ronaldo, 31, alimshinda mchezaji wa Barcelona, Lionel Messi na Antoine Griezmann wa Atletico Madrid.

Ronaldo pia alishinda tuzo ya Ballon d'Or Desemba 2016, ambapo tuzo zote hizo ametwaa kutokana na mafanikio katika Ligi ya Mabingwa na Real, pamoja na Euro 2016 na Ureno.
                                          Mshambuliaji nyota Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake
Cristiano Ronaldo akiwa amemshika mtoto wake wa kiume katika picha ya pamoja na familia yake

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA