Saturday 29 March 2014

HUYU NDIYE MBUNGE WA KWANZA WA CCM KUJITOKEZA KUPINGA SERIKALI MBILI

Mh. Deo Filikunjombe Mbunge wa CCM wa Ludewa, amekuwa Mbunge wa kwanza kujitokeza wazi Bungeni kuungana na Wabunge wa Chadema kwa kuimba "Hapana" kwa maana ya kutaka kupiga kura kwa siri ambao ndio hasa msimamo wa wabunge wote wasiotaka Muungano,

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA