Saturday, 17 May 2014

HUU NDIO UCHIZI WA "LADY GAGA" TAZAMA ALIVYOINGIA JUKWAANI BILA NGUO MUHIMU NA KUWAACHA MASHABIKI MACHO YAMEWATOKA!!



Hii ni kati ya Show zake alizowahi kupiga huko nchini marekani katika tuzo za mtv. katika hali isiyo ya kawaida Gaga aliingia Kwa stage na madance wake akiwa kama unavyomuona kwenye Picha. Lady gaga amekuwa akifanya hivi katika show
zake nyingi ili kuwavutia watu wengi. Pia ameonekana ni celebrities ambaye hana aibu awapo jukwaani lolote litakalomjia kichwani kwa muda huo yeye analifanya. So mambo kama haya yanaendelea Kumpa umaarufu wa Kutosha kila kukicha!!
                                   MAMBO YA WALIMWENGU

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA