Wednesday 11 June 2014

HII KALI:KITUKO CHA LEO BUNGENI: MH. LUGOLA ATINGA NA BANGO LA KUOMBA KURA BUNGENI DODOMA LEO.


 Mh. Lugola baada ya kuingia Bungeni akiwa amevalia bango la kuomba Kura kwa wabunge wenzake


 Mh . Lugola akiwa anavua bango lake Baada ya Mbunge Mh. Mchungaji Msigwa kuomba muongozo wa Mh. Spika na kuamuliwa avue bango hilo
Mh. Lugola baada ya kuvua bango hilo na kuendelea na kuomba Kura.

Picha zote na Dodoma yetu Blog 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA