Wednesday 16 July 2014

SUAREZ ATUA BARCELONA KIMYA KIMYA


Luis Suarez amenaswa akitua Barcelona akiwa na mke wake na binti yao kukamilisha usajikli wake wa paundi milioni 75 kutoeka Liverpool. 
Mshambuliaji huyo wa Uruguay ameonekana huko Catalunya tayari kukamilisha mpango huo. 
FIFA wamethibtisha tayari kuwa Barcelona hawataruhusiwa kumtambulisha mshambuliaji huyo kwakuwa anatumikia adhabu.





0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA