Thursday 20 November 2014

GHANA YAICHAPA TOGO YA ADEBAYOR 3-1, NA KUFUZU AFCON




Pamoja na kucheza bila Gyan Asamoh na Andre Ayew Ghana imefanikiwa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika (Afcon).
Black Star imefanikiwa kufuzu kwa kuichapa Togo iliyoongozwa na Emmanuel Adebayor iliyokuwa ugenini kwa mabao 3-1, jana.
Kutokana na ushindi huo, Ghana imefikisha pointi 11 na kufuzu katika michuano hiyo mikubwa ya soka Afrika kwa timiu za taifa.
Ghana ilionekana kuizidia Togo kwa kila kitu huku safu ya ushambuliaji ya Ghana ikiichachafya safu ya ulinzi ya wageni.

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA