00:08 |
|
Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari wawili waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam . Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam.
Related Posts:
MWIGULU,SENDEKA WASHIRIKI MAZISHI YA CHRISTINA LISSU MKOANI SINGIDA
Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba akitoa heshima zake za mwisho mapema leo kabla ya mazishi, kwa aliyekuwa Mbunge… Read More
MKUU WA WILAYA YA NJOMBE AFARIKI DUNIA
TAARIFA iliyotufijia hivi punde toka Wilaya ya Njombe mkoani Njombe zinaarifu kua Mkuu wa Wilaya ya Njombe bi Sara Dumba amefariki dunia h… Read More
MWANAMUZIKI NDANDA KOSOVO KUZIKWA LEO
Ndanda Kosovo kuzikwa Leo
Leo ni Siku ya Maziko ya Mwanamuziki maarufu, Ndanda Kosovo, mwenye asili ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ambaye a… Read More
ALIYEKUWA KIPA WA SIMBA, ABBEL DHAIRA AFARIKI DUNIA
Dhaira siku za mwisho za uhai wake
KIPA wa zamani wa Simba SC, Abbel Dhaira amefariki dunia leo baada ya kusumbuliwa na ugojwa wa saratani ya… Read More
PICHA:: HIVI NDIVYO NDANDA KOSOVO ALIVYOZIKWA MAKABURI YA KINONDONI
WAZIRI wa Habari, Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda wamewaongoza mamia… Read More
0 comments:
Post a Comment