Wednesday 25 November 2015

CHELSEA MAMBO SAFI UEFA YASHINDA 4-0


Chelsea imeitwanga Maccabi Tel Aviv yaIsrael ,  kwa mabao 4-0.


Mabao ya Chelsea katika mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cahill, William, Oscar na Zouma.


 Kwa ushindi huo, Chelsea imechukua uongozi wa Kundi G baada ya kufikisha pointi 10, sawa na FC Porto ambayo imechezea kichapo cha mabao 2-0.





0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA