ARSENAL YATULIZA MANCHESTER CITY KWA BAO 2-1
Arsenal
imeitwanga Man City kwa mabao 2-0, lakini inaendelea kubaki katika
nafasi ya pili ikiwa na pointi 36 nyumba ya Leicester City yenye 38
katika msimamo wa Ligi Kuu Engaland.
Ikiwa
nyumbani Emirates, Arsenal ilitawala saehemu kubwa ya mchezo huo hadi
Theo Walcott na Olivier Giroud walipotupia kila mmoja bao moja.
Bao la Man City lilifungwa na Yaya Toure katika dakika ya 82 lakini Arsenal wakaendelea kupoteza nafasi kadhaa za kufunga.
Wolfred
Bony aliyeingia kipindi cha pili, naye alionekana kuwa miba kwa Arsenal
ambao walitumia muda mwingi hasa katika dakika 10 za mwisho kujilinda
zaidi.
Arsenal:
Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Flamini, Ramsey, Walcott, Ozil, Campbell, Giroud.
Subs: Gibbs, Gabriel, Ospina, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Iwobi, Reine-Adelaide.
Subs: Gibbs, Gabriel, Ospina, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Iwobi, Reine-Adelaide.
Man City:
Hart, Sagna, Otamendi, Mangala, Kolarov, Fernandinho, Toure, Delph, Silva, Aguero, De Bruyne.
Subs: Sterling, Caballero, Bony, Jesus Navas, Clichy, Demichelis, Iheanacho.
Subs: Sterling, Caballero, Bony, Jesus Navas, Clichy, Demichelis, Iheanacho.
Referee: Andre Marriner (West Midlands)
0 comments:
Post a Comment