Monday 29 February 2016

MANCHESTER CITY BINGWA CAPITAL ONE CUP,

  Caballero (left) sprays champagne as City's players celebrate their success on the pitch after defeating Liverpool

MANCHESTER imetwaa Kombe la Ligi England, maarufu kama Capital One Cup baada ya kuifunga kwa penalti 3-1 Liverpool Uwanja wa Wembley kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120. Shujaa wa Man City leo alikuwa ni kipa Willy Caballero aliyeokoa penalti tatu na kukipa taji la Capital One kikosi cha Manuel Pellegrini, baada ya kiungo Yaya Toure kufunga penalti ya mwisho. Emre Can pekee alifunga penalti ya Liverpool, wakati za Lucas, Philippe Coutinho na Adam Lallana zilichezwa na Caballero, huku za City zikitiwa nyavuni na Sergio Aguero, Jesus Navas na Toure, baada ya Fernandinho kukosa ya kwanza. 

Willy Caballero akiwa amebebwa na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuokoa penalti tatu na kuipa timu hiyo taji la Capital One Uwanja wa Wembley
As does fellow team-mate  Coutinho (right) who tries to glide past former Liverpool team-mate Raheem Sterling at Wembley Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Fernandinho alianza kuifungia Manchester City dakika ya 49, kabla ya Philippe Coutinho kuisawazishia Liverpool dakika ya 83.
City's No 10 was desperately unlucky though as his curling right-footed effort was tipped on to the post by Mignolet

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA