Diego
Costa wa Chelsea akiushuhudia mpira ukitinga nyavuni baada ya
kumchambua kipa wa Norwich katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa
Jumanne Uwanja wa Carrow Road. Chelsea ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kenedy na Coasta, wakati la wenyeji lilifungwa na Nathan Redmond.
0 comments:
Post a Comment