CHELSEA YAPIGIKA KWA SWANSEA CITY GOLI 1-0
SWANSEA CITY YAIDUWAZA CHELSEA WAKATI GUUS HIDDINK AKIONJA KIPIGO CHA KWANZA
Timu ya Swansea City imepata ushindi wake wa kwanza dhidi ya Chelsea katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuifunga Chelsea bao 1-0, ikiwa ni kipigo cha kwanza kwa kocha Guus Hiddink.
Swansea ilitawala kipindi cha kwanza na kupata bao hilo pekee kupitia kwa mpira uliopigwa na Gylfi Sigurdsson, hata hivyo katika kipindi cha pili Chelsea waliokuwa ugenini walimiliki mpira vyema lakini walidhibitiwa vyema na wenyeji wao. Gylfi Sigurdsson akiachia shuti lililojaa wavuni na kuandika bao pekee Pedro akidhibitiwa na wachezaji wa Swansea asilete madhara
Swansea ilitawala kipindi cha kwanza na kupata bao hilo pekee kupitia kwa mpira uliopigwa na Gylfi Sigurdsson, hata hivyo katika kipindi cha pili Chelsea waliokuwa ugenini walimiliki mpira vyema lakini walidhibitiwa vyema na wenyeji wao. Gylfi Sigurdsson akiachia shuti lililojaa wavuni na kuandika bao pekee Pedro akidhibitiwa na wachezaji wa Swansea asilete madhara
0 comments:
Post a Comment