YANGA YATOKA SARE NA AL ALHY YA MISRI 1-1
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akiwatoka wachezaji wa Al Alhy ya Misri katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akiwatoka wachezaji wa Al Alhy ya Misri katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Deus Kaseke akiwatoka walinzi wa Al Ahly.
0 comments:
Post a Comment