Monday 11 April 2016

MANCHESTER UNITED YACHEMKA DHIDI YA TOTTENHAM YAPIGWA 3-0


Tottenham imeendelea kujiimarisha katika kutoa changamoto ya kuwania kutwaa kombe la Ligi Kuu ya Uingereza kwa kuichakaza Manchester United kwa mabao 3-0.

Baada ya kushuhudia Leicester ikiishinda Sunderland katika mchezo wa mapema jana, Tottenham ilifunga magoli yote matatu katika kipindi cha pili.

Dele Alli alipachika la kwanza na kisha Toby Alderweireld kupiga la pili kwa kichwa, kabla ya Erik Lamela kumalizi la tatu.
                                                 Dele Alli akifunga goli la kwanza kwa Tottenham
                            Anthony Martial akijaribu kuwatoka mabeki wa Tottenham

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA