ORIGI AZIDI KUWASHA MOTO LIVERPOOL IKIIADHIBU STOKE CITY 4-1
Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield.
Origi ambaye aliingia katika kipindi cha pili kuchukua nafasi ya kinda Shey Ojo aliyefanya kazi nzuri katika kipindi cha kwanza alifunga mabao mawili wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic.
Origi ambaye aliingia katika kipindi cha pili kuchukua nafasi ya kinda Shey Ojo aliyefanya kazi nzuri katika kipindi cha kwanza alifunga mabao mawili wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic.
Beki wa kushoto wa lliverpool Alberto Moreno akishangilia mara abaada ya kuifungia timu yake goli la kwanza katika dakika ya saba ya mchezo |
Wachezaji wa Stoke City wakimpongeza Bojan (aliyekumbatiwa na Crouch) baada ya kupachika bao la kusawazisha katika kipindi cha kwanza |
Daniel Sturridge akishangilia baada ya kupachika bao la pili na kuifanya Liverpool kwenda mapumziko ikwa mbele kwa jumla ya mabao mawili kwa moja |
0 comments:
Post a Comment