Monday 25 April 2016

RAIS OBAMA NA KANSELA ANGELA MERKEL WAAFIKIANA MPANGO WA KIBIASHARA


Rais Barack Obama pamoja na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani wameafikiana misingi ya makubaliano ya kibiashara siku ya jana huku kukiwa na upinzani wa mpango huo.

Baada ya mazungumzo yao kaskazini mwa mji wa Hannover kulikuwa na maandamano ya makumi ya maelfu Wajerumani kupinga mpango huo utakaokamilika mwisho wa mwaka huu.
                            Rais Obama akiwa na mwenyeji wake Kansela Angela Merkel
      Rais Obama na Kansela Angela Merkel walionekana kuwa na wakati mzuri pamoja

                   Waandamanaji wakipinga mpango wa makubaliano ya kibiashara

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA