Saturday 21 May 2016

JESHI LA MISRI LATOA PICHA ZA MABAKI YA NDEGE YA EGYPTAIR


Jeshi la Misri limetoa picha za vitu vilivyopatikana katika zoezi la kuitafuta ndege ya shirika la EgyptAir iliyotoweka katika eneo la bahari ya Mediterranea.

Picha hizo zinaonyesha vitu kama jaketi la kujiokolea, sehemu za viti na vitu vingine mbalimbali vinavyoonyesha ni vya ndege hiyo aina ia Airbus.
Ndege hiyo ilitoweka Alhamisi ikiwa angani ikitokea Jijini Paris kwenda Cairo ikiwa na abiria 66 pamoja na wahudumu.
                               Jaketi la kujiokolea maisha mtu akiwa majini la ndege hiyo
               Sehemu ya mabaki ya viti vya ndege kama inavyoonekana kwenye picha hii

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA