RAIS MAGUFULI AMTEUA MWIGULU NCHEMBA KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI 14:00 | No Comments | Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Share This: Facebook Twitter Google+ Stumble Digg kitaifa, rais magufuli Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook Related Posts:RAIS MAGUFULI AITAJA KENYA KUWA NCHI INAYOONGOZA KWA UWEKEZAJI TANZANIA KATIKA AFRIKA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema Kenya ni nchi inayoongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania ikilinganishwa … Read MoreRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA AFRIKA KUSINI THABO MBEKI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Thabo Mbeki mara baada ya kuwas… Read MoreRAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII NA KUSHUHUDIA PEMBE ZA NDOVU 50 ZILIZOKAMATWA Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza kwa kazi nzuri Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Jenerali Gaudence Milanzi baada y… Read MoreRAIS DKT MAGUFULI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MZEE JOSEPH MUNGAI JIJINI DAR ES SALAAM LEO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza waombolezaji katika hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zam… Read MoreRAIS MAGUFULI AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU MBILI NCHINI KENYA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitelemka kwenye ndege baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ju… Read More
0 comments:
Post a Comment