Saturday, 11 June 2016

EURO 2016::BALE AIBEBA WALES DHIDI YA SLOVAKIA

Goli moja lililokuja kupitia mguu wa kushoto wenye thamani kubwa zaidi kwenye ulimwengu wa soka na lingine kutoka kwa mchezaji ambaye hana timu - Gareth Bale na Hal Robson-Kanuyakatosha kuipa Wales ushindi wa 2-1 dhidi ya Slovakia katika mchezo wa Euro 2016. 


  Hal Robson-Kanu, ambaye kwa sasa hana klabu yoyote, alitokea benchi na kuifungia Wales bao la ushindi  
Real Madrid superstar Gareth Bale races away in celebration after scoring the opening goal of Wales' Group B clash with Slovakia
Supastaa wa Real Madrid  Gareth Bale akishangilia bao lake 

Bale runs up to the ball to send his delightful free-kick towards goal in Wales' first match at a major tournament since 1958
Bale akifunga kwa free-kick katika mchezo wa kwanza mkubwa wa Wales tangu mwaka 1958 
Slovakia substitute Ondrej Duda slides on his knees after levelling the scoreline in the 61st minute to help his side get back on level terms


Slovakia goalkeeper Matus Kozacik dives to his right-hand side but is unable to stop Bale's strike from hitting the back of the net
Kipa wa Slovakia Matus Kozacik akiruka bila mafanikio kuzuia mpira wa adhabu uliopigwa na BaleHal Robson-Kanu, who is currently without a club, came off the bench to win the match for Wales in an action-packed Group B opener

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA