HIVI NDIVYO GUARDIOLA ALIVYO KARIBISHWA NA KUTAMBULISHWA MANCHESTER CITY
Kocha Pep Guardiola ametambulishwa katika klabu yake mpya, Manchester City ya England leo baada ya kuhamia kutoka Bayern Munich ya Ujerumani, aliyojiunga nayo mwaka 2013 kutoka Barcelona ya Hispania.
Guardiola pamoja na baadhi ya wachezaji wakiwa mbele ya umati wa Mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo
Baadhi ya wachezaji wa Manchester City wakiwa katika pozi ndani ya vyumba vya kubadili nguo ,ili kutambulisha uzi watakaotumia katika msimu ujao wa 2016/2017
Picha na DAILY MAIL
0 comments:
Post a Comment