Saturday 27 August 2016

LIVERPOOL ,SPURS HAKUNA MBABE

   Milner akijipinda na kuachia shuti la mkwaju wa penati na kuifungia Liverpool goli
Katika mchezo mwingine Liverpool imejikuta ikilazimwishwa sare ya goli moja kwa moja na Tottenham Hotspur, katika dimba la White Hart Lane.

Liverpool ilipata goli lake la kwanza kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Milner baada ya Erik Lamela kumfanyia madhambi Roberto Firmino.

England defender Danny Rose struck an equaliser for Tottenham in the second half, firing past Liverpool's Simon Mignolet
Beki Dany Rose akiachia mkwaju uliojaa kimyani na kuisawazishia wenyeji Spurs
Tottenham walipambana kiume wasiaibishwe nyumbani na alikuwa Danny Rose aliyesawazisha goli katika kipindi cha pili

Victor Wanyama of Tottenham gets carried away as goalscorer Rose is mobbed under a sea of team-mates
           

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA