FREEMAN MBOWE ATANGAZWA MSHINDI MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA
08:20 |
No Comments |

MATOKEO RASMI:
Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:
Makamu Mwenyekiti zanzibar
Said Issa Mohamed 645 Hamad Mussa Yusuph 163
Makamu Mwenyekiti Bara
Professor Abdallah safari Kura za Ndiyo 775 Kura za Hapana 34 Zilizoharibika 2
Mwenyekiti Taifa
Freeman Aikael Mbowe 789 Gambaranyera Mong'ateko 20Zilizoharibika 2
Ushindi wa Freeman Mbowe ni asilimia 97.3%
Sasa ni Rasmi Freeman Mbowe ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi cha tatu cha mwaka 2014-2019
Related Posts:
HUU NDIO UJIO MPYA WA VANESSA MDEE NA BARNABA BOY! CHEKI HAPA Hajafanya kolabo nyingi sana kiasi cha kusema tumezoea, hii ndio sababu nyingine ukisikia V Money ( Vanessa Mdee ) kaungana na msanii mwingine k… Read More
MKUU WA WILAYA AAGIZA WANAFUNZI 24 WALIOPATA MIMBA WARIPOTI POLISI Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani,Nurdin Babu ameagiza wanafunzi24 wa Sekondari mbalimbali Wilayani humo waliopata ujauzito… Read More
POLISI ALIYEUA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU JIJINI MBEYA AHUKUMIWA KIFO MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya m… Read More
MBUNGE WA MUSOMA ,NIMROD MKONO ALISHWA SUMU Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa. &nbs… Read More
Udini vyuo vikuu : Serikali yapiga marufuku wanafunzi kufanya mitihani siku ya Ijumaa na Jumamosi .....Wizara yatoa waraka maalumu PICHA TOKA MAKTABA Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imezuia uongozi wa vyuo vikuu nchini kuwal… Read More
0 comments:
Post a Comment