FREEMAN MBOWE ATANGAZWA MSHINDI MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA
08:20 |
No Comments |

MATOKEO RASMI:
Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:
Makamu Mwenyekiti zanzibar
Said Issa Mohamed 645 Hamad Mussa Yusuph 163
Makamu Mwenyekiti Bara
Professor Abdallah safari Kura za Ndiyo 775 Kura za Hapana 34 Zilizoharibika 2
Mwenyekiti Taifa
Freeman Aikael Mbowe 789 Gambaranyera Mong'ateko 20Zilizoharibika 2
Ushindi wa Freeman Mbowe ni asilimia 97.3%
Sasa ni Rasmi Freeman Mbowe ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi cha tatu cha mwaka 2014-2019
Related Posts:
WANANCHI WENYE HASIRA KALI WAMETEKETEZA KWA MOTO NYUMBA YA MWANAUME ALIYEKUWA AKIWALAWITI WATOTO WA KIUME HUKO MOSHI Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, wakim… Read More
MAMA MARIA NYERERE AWAOMBA WAKE WA VIONGOZI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI IENDELEE KUWA NA AMANI NA MAENDELEO Mama Maria Nyerere akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wana kikundi cha (NEW MELLENIUM WOMEN GROUP) ambao ni wake wa viongozi … Read More
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TOKA OFISI YA KATIBU WA BUNGE MAALUM. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE MAALUM BUNGE MAALUM LA KATIBA LIPEWE NAFASI YA KUFANYA KAZI ZAKE Ofisi ya… Read More
RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe ASP Fulgence Ngonyani. Na James Festo, Njombe.KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonya… Read More
ANGALIA PICHA YA KIJANA ALIYEONGEZEWA HUKUMU KWA KOSA LA KUJISAIDIA MAHAKAMANI Mkaka huyu alikua na kesi ya jinai mahakamani,amejikuta akiongezewa mashtaka baada ya kuulizwa maswali magumu sana na hakimu,na hatimaye aka… Read More
0 comments:
Post a Comment