Sunday 7 June 2015

BARCELONA BINGWA ULAYA, YAIPIGA JUVENTUS 3-1,

Barcelona celebrate


Ivan Rakitic celebrates his goal with Neymar

Mabao ya Raktic katika kipindi cha kwanza, Luis Suarez na Neymar katika kipindi cha pili yameiwezesha Barcelona kuibuka mabingwa wa Ulaya kwa kuichapa Juventus bao 3-1.



Bao pekee la Moratta halikuweza kuiokoa Juventus iliyocheza mpira wa ushindani na kuipa Barcelona ushindani mkubwa.
Alvaro Morata (centre) celebrates his goal with Andrea Barzagli and Stephan Lichtsteiner
Fainali hiyo kwenye Uwanja wa Berlin, Ujerumani, ilikuwa ni ya kuvutia, ya ushindani na kivutio kikubwa.


0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA