REKODI YA MKALI WA KUKATA UPEPO, USAIN BOLT YAVUNJWA RASMI….
02:12 |
No Comments |
Mwanariadha wa Marekani, Justin Gatlin amevunja rekodi iliyowekwa na Usain Bolt na kuweka rekodi mpya katika mbio za Diamond League za mita 100.
Gatlin mwenye umri wa miaka 33 anayeishi huko Orlando, Florida, aliwaongoza wenzake kushinda kwa sekunde 9.75 ikiwa ni muda bora wa saba kuwekwa katika historia na ameipiku rekodi ya Bolt (lightning Bolt) ya sekunde 9.76 iliyoweka mwaka wa 2012.
Gatlin ambaye amepigwa marufuku kutumia dawa za kusisimua misuli alikimbia mda wa sekunde 9.74 katika mkutano wa kwanza wa mbio za Diamond League mwezi uliopita.
Bingwa wa mbio za Olimpiki Sally Pearson alipata jeraha la kifundo cha mkono baada ya kuanguka katika mbio za kuruka viunzi za mita 100 upande wa wanawake.
Related Posts:
TANZIA: MWENYEKITI WA KLABU YA AZAM, SAID MOHAMMED AFARIKI DUNIA Uongozi wa Klabu ya Azam FC kwa masikitiko makubwa, unatangaza kifo cha mwenyekiti wake, Mzee Said Mohamed Abeid, kilichotokea alasir ya Nove… Read More
CHELSEA YAIRARU EVERTON NA KUKWEA KILELENI LIGI KUU YA UINGEREZA Eden Hazard amefunga magoli mawili wakati Chelsea ikitinga kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuisambaratisha Everton kwa magoli 5-0. … Read More
SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA MZEE SAMWEL SITTA, SHEIKH SAID MUHAMMAD Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunga… Read More
SPURS YAIBANIA ARSENAL KUKAA KILELENI LIGI KUU ENGLAND Harry Kane amerejea tena dimbani baada ya kuwa majeruhi na kuisawazishia Tottenham goli na kuifanya timu hiyo kuwa timu pekee ambayo haijafu… Read More
LIVERPOOL YAKWEA KILELENI LIGI KUU YA UINGEREZA KWA USHINDI MNENE WA 6-1 Liverpool imekwea kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza kwa mara ya kwanza ikinolewa na kocha Jurgen Klopp kwa kupata ushindi mnono wa magoli 6… Read More
0 comments:
Post a Comment