Monday 15 June 2015

BREAKING NEWS>> BASI LAGONGANA NA LORI NA KUUA WATU ZAIDI YA 20 TANZANIA





Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba gari ya Kampuni ya Another G inayofanya safari zake Njombe kwenda Iringa imegongana Lori Semi Trailler .

Taarifa zinasema kuwa ajali hiyo imetokea katika eneo la Kinyanambo,njia panda ya Madibila.
Inaelezwa kuwa waliofariki dunia mpaka sasa ni 22 wanaume 15 na wanawake 7 na majeruhi ni 34.
Hiyo ni kwa ufupi tutaendelea kuwajuza........endelea kutembelea mtandao huu..

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA