AZAM YAREJEA KILELENI LIGU KUU BARA

Bao pekee la Azam FC lilifungwa na nahodha wake, John Bocco katika dakika ya 86 kwa mkwaju wa penalti.
Hata hivyo, Mtibwa Sugar watajilaumu wenyewe kwa kupoteza nafasi nyingi zaidi za kufunga.
Ushindi huo unaifanya Azam FC kufikisha pointi 35 na kuendelea kubaki katika nafasi ya pili nyuma ya Yanga.
Mtibwa Sugar inaendelea kubaki katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 27.
-Picha na Bin Zubery
0 comments:
Post a Comment