Thursday 10 December 2015

HAT TRICK YA GIROUD YAIBEBA ARSENAL UEFA


Mshambuliaji wa Arsenal, Olviere Giroud amepiga bao tatu, hat trick na kuiwezeusha Arsenal kuitwanga Olympiacos kwa mabao 3-0.



Ushindi huo umeikahikishia Arsenal ikiwa ugenini kuvuka kwenda hatua ya 16 bora ikitokea kundi F baada ya kufikisha pointi 9 kama Olympiacos lakini iko vizuri kwenye tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. 

Nyingine iliyovuka kutoka katika kundi hilo ni Bayern Munich ya Ujerumani.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA