SUAREZ APIGA HAT TICK BARCELONA IKIFUZU FAINALI,UBINGWA WA DUNIA
Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 mjini Yokohama, Japan kwenye mchezo wa Nusu Fainali Klabu Bingwa ya Dunia mchana wa leo dhidi ya Guangzhou Evergrande.
Suarez alifunga dakika ya 39 akiuwahi mpira uliookolewa baada ya shuti la Ivan Rakitic, dakika ya 50 kwa shuti na dakika ya 67 kwa penalti na sasa Barca itakutana na River Plate ya Argentina katika fainali keshokutwa.
Suarez akifunga bao kwa njia ya mkwaju wa penati |
0 comments:
Post a Comment