CRYSTAL PALACE USO KWA USO NA MANCHESTER UNITED FAINALI YA FA
Yannick Bolasie aliipatia goli la kwa la Palace katika dimba la Wembley baada ya Damien Delaney kuugonga mpira wa kona uliopigwa na Yohan Cabaye.
Watford, ambayo ilimkosa kiungo wake Etienne Capoue aliyeumia, ilisawazisha kupitia kwa Troy Deeney, lakini Connor Wickham akaongeza goli la pili kwa Palace. Connor Wickham akipachika goli la pili la Crystal Palace
0 comments:
Post a Comment