Wednesday 6 April 2016

UEFA::VIDAL SHUJAA BAYERN IKIILAZA BENEFICA 1-0

Vidal is mobbed by his Bayern team-mates as the German giants made a sublime start to their Champions League quarter-final clash 
Bao pekee la Arturo Vidal mapema tu dakika ya pili limeipa ushindi wa 1-0 Bayern Munich dhidi ya Benfica. Bayern sasa wana kazi ya ziada ya kwenda kuulinda ushindi wao katika mchezo wa marudiano ugenini.
Robo Fainali za pili zitachezwa kesho VfL Wolfsburg na Real Madrid Uwanja wa Volkswagen Arena na Paris Saint-Germain na Manchester City Uwanja wa Parc des Princes..

              Arturo Vidal akikimbia kushangilia baada ya kuifungia baon pekee Bayern Munich 
Benfica striker Raul Jimenez vaults over Manuel Neuer after the Bayern goalkeeper came forward to claim a loose ball 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA