Saturday 18 June 2016

MAKAMU WA RAIS AZINDUA KAMPENI ZA UCHANGIAJI WA UJENZI BWENI LA MWANACHUO WA KIKE KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Siku ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe na Uzinduzi wa Kampeni za Uchangiaji wa Ujenzi wa Bweni la Wanachuo wa Kike.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Siku ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe na Uzinduzi wa Kampeni za Uchangiaji wa Ujenzi wa Bweni la Wanachuo wa Kike ambapo aliwashi mabinti kuzingatia masomo kwanza kabla ya kuingia kwenye mambo mengi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi kampeni za uchangiaji wa ujenzi wa bweni la wanachuo wa Kike.
Wanafunzi wa Chuo Cha Mzumbe wakimsikiliza kwa makini Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye Siku ya Wahitimu wa Chuo Kikuuu cha Mzumbe na uzinduzi wa kampeni za uchangiaji wa ujenzi wa bweni la wanachuo wa kike.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Bernadetha Msigwa mwanafunzi wa chuo cha Mzumbe ambaye amepoteza uwezo wake wa kuona na anasubiri kwenda nje kwa matibabu.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea kitabu chenye orodha ya majina ya wanachuo waliohitimu katika chuo cha Mzumbe
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii maarufu wa kuigiza sauti za Viongozi anayejulikana kwa jina la JK Komedian
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan(katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbali mbali wakati wa sherehe ya Siku ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe na Uzinduzi wa Kampeni za Uchangiaji wa Ujenzi wa Bweni la Wanachuo wa Kike Kampasi Kuu mjini Morogoro, Waliokaa kutoka kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako na Mkuu wa Chuo cha Mzumbe,Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Barnabas Samatta, kulia ni Mkuu wa mkoa wa Moro Mhe. Steven Kebwe na Rais wa Baraza la la Masajili,chuo kikuuu Mzumbe Bw. Ludovick Utouh

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA