Monday 24 October 2016

CHELSEA YAIVUNA MANCHESTER UNITED,MOURINHO ABAKI MDOMO WAZI

Kocha Jose Mourinho amepata makaribisho ya aibu wakati akirejea Chelsea baada ya klabu yake hiyo ya zamani kuichakaza Manchester United magoli 4-0 katika dimba la Stamford Bridge.

Chelsea ambao walimtimua Mourinho mwaka jana, waliongoza kwa kupata goli ndani ya sekunde 30, baada ya Pedro kutumia udhaifu wa beki na kutumbukiza mpira kimiani.

Gary Cahill aiongeza la pili baada mpira wa kona ya Eden kugonga mwamba na kurudi katika eneo la goli, na kisha baadaye Hazard akafunga la tatu na N'Golo Kante kufunga la nne.
                                                    Pedro akishangilia baada ya kufunga goli la kwanza
          Gary Cahill akipiga mpira uliomshinda kipa David de Gea na kuandika goli la pili
Kocha Jose Mourinho akimnong'oneza kitu kocha wa Chelsea Conte mara baada ya kumalizika mpira

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA